Daima
huwa namuomba mungu kuniongoza katika maisha yangu .Lakini naweka
juhudi zaidi katika vitu ninavyofanya au ninavyopanga kufanya naamini
mafanikio yangu yatapatikana kutokana na juhudi zangu katika kutekeleza
kile nilichodhamilia kufanya .maneno mazuri kutoka kwa mrembo mwenye
ndoto za mafanikio pasipo skendo...................
FRIDA MASERO AKIWA KATIKA SHUGHULI ZAKE ZA UTANGAZAJI
Frida masero ni mangazaji wa Redio na pia anafanya biashara mbalimbali hapahapa nyumbani Tanzania kama za maswala ya Fashon na Master of Ceremony [mc] na namnukuu mimi ninamelengo makubwa sana na ninaamini nitamfikia Ophra Winfrey kwasasbubu naanimini ninaweza
No comments:
Post a Comment