Saturday, August 3, 2013

Angalia mitindo ya mavazi kuanzia nguo hadi viatu vitakavyokufanya utokelezee vizuri

 Mitindo ni mojawapo ya sekta za kisanaa nchini na duniani kote ambayo imetoa ajira kwa vijana wengi sekta hii huwaingizia kipato kikubwa sana vijana kutoka tanzania Ikiwa ni hivi majuzi tumeona kijana kutoka tanzania akisaini mkataba wa mabilioni ya pesa na kampuni ya addidas












No comments:

Post a Comment